LULU akiwa mahakamani siku ya Jumatatu.
By Meneja - Wednesday, September 19, 2012
PICHA: ELIZABETH MICHAEL "LULU" AKIWA MAHAKAMANI SIKU YA JUMATATU

Msanii wa filamu nchini Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiwa
makakamani katika mahakama ya rufani, jana baada ya kusikilizwa kwa
maombi ya upande wa jamhuri ya kuomba kupitiwa kwa uamuzi wa Mahakama
Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar Es Salaam wa kukubali kufanyia uchunguzi
umri wa msanii huyo



Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS
ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII