; Truth and Life: LULU akiwa mahakamani siku ya Jumatatu.

Latest News

LULU akiwa mahakamani siku ya Jumatatu.

By Meneja - Wednesday, September 19, 2012

PICHA: ELIZABETH MICHAEL "LULU" AKIWA MAHAKAMANI SIKU YA JUMATATU

Msanii wa filamu nchini Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiwa makakamani katika mahakama ya rufani, jana baada ya kusikilizwa kwa maombi ya upande wa jamhuri ya kuomba kupitiwa kwa uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar Es Salaam wa kukubali kufanyia uchunguzi umri wa msanii huyo



Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS

ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII